Sunday, November 22, 2015

FOMU ZA USAJILI WA WANAKIKUNDI

Katika mkakati wa kuhakikisha kila mwanakikundi anakuwa na haki sawa ndani ya kikundi, kikundi kiliandaa fomu maalumu kwa ajili ya wanakikundi kujaza na kuwa wanakikundi hai wanaotambulika rasmi.

Zoezi la kujaza fomu hizo bado linaendelea na hawa wafuatao ndio waliotimiza hatua hiyo ya kujaza fomu.